Sunday 28 August 2016

Mikoba ya kiasili kwa wadada na akina mama

Tupende kujivunia cha kwetu,maana hata hivyo vya kigeni kwao wanaviita "vyakwetu"..mikoba hii inaweza tumiwa kwa shughuli mbalimbali za ubebaji wa mahitaji kwa mama zetu na dada zetu..pia kwa muundo wake imara tuna kila sababu ya kupenda chakwetu..

No comments:

Post a Comment